Archivo de la etiqueta: magoli

Namungo FC 0-3 Simba SC | Lo más destacado | NBC Premier League 19/02/2025

Zimepigwa Penati Tatu, Simba Ikiitandika Namungo fc Mabao 3-0 Kwenye Dimba la Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, Ukiwa ni McHezo wa Wa Ligi Kuu Ya Nbc Tanzania Bara. Jean Charles Ahoua Amefunga Penati Mbili, Huku Lionel Ateba Akikosa Penati Moja Iliyookolewa … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , | 20 comentarios

Simba 1-2 Yangá | Aspectos destacados | Liga Premier U17 16/06/2024

KARIAKOO DERBY U17: Zimetumika dakika saba pekee kufungwa magoli matatu… Simba wakitangulia dakika ya 61 kupitia kwa Athuman Idd, lakini Chitunzi Masaka akachomoa dakika ya 63, na Hamis Idd akafunga la ushindi dakika ya 67. Ni Ligi Kuu ya Vijana … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , , | 22 comentarios

Magoli | Simba 1-2 Yangá | Liga Premier U17 16/06/2024

KARIAKOO DERBY U17: Zimetumika dakika saba pekee kufungwa magoli matatu… Simba wakitangulia dakika ya 61 kupitia kwa Athuman Idd, lakini Chitunzi Masaka akachomoa dakika ya 63, na Hamis Idd akafunga la ushindi dakika ya 67. Ni Ligi Kuu ya Vijana … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , , | 19 comentarios

Yanga SC 4-1 Prisiones de Tanzania | Aspectos destacados | Liga Premier NBC 28/05/2024

Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick Yanga ikiiadhibu Tanzania Prisiones magoli 4-1 kwenye mchezo wa kuhitimisha msimu #NBCPremierLeague 2023-24 uliopigwa Azam Complex, Chamazi. Waliotangulia kufunga ni Tanzania Prisiones kwa goli la beno Ngassa dakika ya tano huku Aziz akifunga magoli yake … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , | 33 comentarios

Magoli | Simba 3-1 Singida Grandes Estrellas | Liga Premier NBC 02/03/2023

Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , | 28 comentarios

Goli la Mbeya Kwanza wakiwachapa Tanzania Prisons 1-0 NBC Premier League 05/05/2022

Goli pekee la penati kutoka kwa Deo Minga limeipa Mbeya Kwanza alama tatu muhimu katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa leo kwenye Dimba la Majimaji Songea. Hivi ndivyo ilivyotokea. Camisetas Manchester City Consulta las últimas noticias sobre fútbol … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , | 6 comentarios

Magoli | DodomaJiji 1-1 Biashara United | Liga Premier NBC 21/11/2021

Dodoma Jiji na Biashara United zimeumana na kutoka sare ya bao 1-1 katika mchezo mkali wa #NBCPremierLeague uliochezwa leo kwenye Dimba la Jamhuri, Dodoma. Dodoma Jiji wameanza kupata bao lao dakika ya 10 kupitia kwa Anuary Jabir na Biashara kusawazisha … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , | 4 comentarios

Magoli | Malindi 2-1 Kisiwani | Premier League de Zanzíbar 25/03/2022

Timu ya Malindi SC imetoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Kisiwani FC katika mchezo wa ligi kuu ya Zanzibar #PBZPremierLeague uliochezwa leo kwenye Dimba la Amaan Zanzibar. Magoli ya Malindi yametoka kwa Mohamed Mussa dakika ya 16′ na Juma … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , | 2 comentarios

Magoli | Yanga 2-0 JKT Tanzania | Liga Premier Sub-20

YANGA VS JKT U20: Timu vijana ya Yanga u20 imepata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya vijana #U20PremierLeague hatua ya nane bora inayoendelea kwenye uwanja wa Azam Complex, Chamazj. Magoli ya Yanga … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , | 22 comentarios

Magoli | Simba 2-0 Kagera Azúcar | Liga Premier NBC 20/08/2022

Goli la Dejan Georgijevic dakika ya 81 na la Moses Phiri dakika ya 42 yametosha kuipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Hola ni mechi ya raundi ya pili … Sigue leyendo

Publicado en Fútbol Internacional | Etiquetado , , , , , , , , , , , , , , , , , , , , | 45 comentarios