Zimepigwa Penati Tatu, Simba Ikiitandika Namungo fc Mabao 3-0 Kwenye Dimba la Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, Ukiwa ni McHezo wa Wa Ligi Kuu Ya Nbc Tanzania Bara. Jean Charles Ahoua Amefunga Penati Mbili, Huku Lionel Ateba Akikosa Penati Moja Iliyookolewa na Golikipa wa Namungo, Jonathan Nahimana. Goli la tatu kwa simba limefungwa na Steven mukwala dakika za majeruhi … katika mcHezo huu pia, namungo wamepata pigo baada ya beki wake derrick mukombozi kutolewa kwa kadi nyekundu …
Camisetas Dinamarca Diario SPORT. Versión online del periódico deportivo. Todas las noticias del Barça y del mundo del deporte en general.
Entradas recientes
- Namungo FC 0-3 Simba SC | Lo más destacado | NBC Premier League 19/02/2025
- Best Premier League Pronunciations Pt.3 #football #premierleague
- Carrera por el título de la Premier League hasta ahora
- Los mejores goles de la Premier League en lo que va de la temporada (2024/25)
- Los mejores goles de la Premier League de 2024 pies. Palmer, Saka y Salah
Comentarios recientes
Namungo walichagua kuharibu mechi
mm ni simba ila tunabebwa sana
Marefa mna nn
Haki iko wap?
Utu uko wap?
Red card♦️ya nyoni na amoh ipo wap???
hakuna kitu hapo
Uyu coach aki rudia tena kuchezesha tena mpr munite umbwa yan muna umiza san hiz timu ndogo adi uruma
Gsm anaharibu lig wetu
Kama hii penati ya kwanza Shomari kapombe ndo kaanza kuvuta jezi
bila shak utopolo mmemuona refa wa tar8😌🤝
Tff na chama cha maerefa waangalie vizuri wanaharibu football ya Tanzania 😅😅😅
Aibu naona mimi
wanaosema tumebebwa wao hawakumbk wanafunga had kwa mikono
Ateba kapigwa dole ndo maana nyekundu
GSM Leo kaoneshwa shoo ya Ubaya ubwela na ml 50 yake
Mimi simba kweli ila hizi penati 2 tumebebwa
Ubaya ubwela
Ubay ubwela ❤❤❤❤
Mwiko nyuma mwaka huu mtakoma
Aibu naona mimi
Hawa wametumwa kuwaumiza wachezaji wa simba
simba nguvu moja