Zimepigwa Penati Tatu, Simba Ikiitandika Namungo fc Mabao 3-0 Kwenye Dimba la Majaliwa, Ruangwa Mkoani Lindi, Ukiwa ni McHezo wa Wa Ligi Kuu Ya Nbc Tanzania Bara. Jean Charles Ahoua Amefunga Penati Mbili, Huku Lionel Ateba Akikosa Penati Moja Iliyookolewa na Golikipa wa Namungo, Jonathan Nahimana. Goli la tatu kwa simba limefungwa na Steven mukwala dakika za majeruhi … katika mcHezo huu pia, namungo wamepata pigo baada ya beki wake derrick mukombozi kutolewa kwa kadi nyekundu …
Camisetas Dinamarca Diario SPORT. Versión online del periódico deportivo. Todas las noticias del Barça y del mundo del deporte en general.
Entradas recientes
- How Bonuses Affect Withdrawals: What Players Need to Know? Home Page Philippines Choice for Online Casino Fun!
- Tuvieron que temblar en él
Thierry Henry y Jamie Carragher están de acuerdo en que la Premier League ha terminado!
- ¿La mejor asistencia en la historia de la Premier League?
- Por qué Florian Wirtz es perfecto para Man City | #premierleague #mancity
- Vivir | Dhanmondi Sports Club vs Legends of Rupganj | DPDCL 2025 | T Deportes
Comentarios recientes
Namungo walichagua kuharibu mechi
mm ni simba ila tunabebwa sana
Marefa mna nn
Haki iko wap?
Utu uko wap?
Red card♦️ya nyoni na amoh ipo wap???
hakuna kitu hapo
Uyu coach aki rudia tena kuchezesha tena mpr munite umbwa yan muna umiza san hiz timu ndogo adi uruma
Gsm anaharibu lig wetu
Kama hii penati ya kwanza Shomari kapombe ndo kaanza kuvuta jezi
bila shak utopolo mmemuona refa wa tar8

Tff na chama cha maerefa waangalie vizuri wanaharibu football ya Tanzania


Aibu naona mimi
wanaosema tumebebwa wao hawakumbk wanafunga had kwa mikono
Ateba kapigwa dole ndo maana nyekundu
GSM Leo kaoneshwa shoo ya Ubaya ubwela na ml 50 yake
Mimi simba kweli ila hizi penati 2 tumebebwa
Ubaya ubwela
Ubay ubwela



Mwiko nyuma mwaka huu mtakoma
Aibu naona mimi
Hawa wametumwa kuwaumiza wachezaji wa simba
simba nguvu moja