Simba SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Big Stars katika mchezo mkali uliopigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Magoli ya Simba yamefungwa Jean Baleke dakika ya 8, Saidi Ntibazonkiza dakika ya 21 na Pape Sakho dakika ya 63 huku goli pekee la Singida likitoka kwa Bruno Gomes aliyefunga kwa free kick dakika ya 35.
Camisetas PERU Información corporativa y noticias relevantes sobre Driblab, la consultora especializada en análisis deportivos especializada en fútbol.
Entradas recientes
- How Bonuses Affect Withdrawals: What Players Need to Know? Home Page Philippines Choice for Online Casino Fun!
- Tuvieron que temblar en él
Thierry Henry y Jamie Carragher están de acuerdo en que la Premier League ha terminado!
- ¿La mejor asistencia en la historia de la Premier League?
- Por qué Florian Wirtz es perfecto para Man City | #premierleague #mancity
- Vivir | Dhanmondi Sports Club vs Legends of Rupganj | DPDCL 2025 | T Deportes
Comentarios recientes
Gg
Tuongeze moja kama sakho
Wakomeshe hao makape
Mungu tunaomba umbariki chama
Simba motoo
Tunaisubili Club Bingwa
Kuna Watu Anasema Hatufiki Makundi Watajutia Tukifika Makundi na Robo na Nusu Fainal
AZAM TV
Waoooh
Pape sakho ni mchezaji mwenye qult ya viwango vya Hali ya juu mwache2 aendelee kutupa Raha Wana Simba lakn huyu sakho ipo siku atakuja ua goli kipa maana so Kwa mashuti hayo hatal sana huyu mwamba bigup kakwe
Simba nguvu moja
POS
Mnaona tu goli la sakho ,Hilo la Gomez vipi wenzangu mbona kama hamtaki kukubali
НЕ ЧИТАЙ ЭТО!!
Я ПРЕДУПРЕЖДАЮ…
если ты это прочитал разошли это сообщение в 5 игр иначе твоя мама умрет через 2 дня!
знаю что бред но не могу проигнорировать боюсь – вот нахера такое слать, а?
Прошу прощения!
Kweli waweza kufa kwa raha
mpira mtam sanaaaa
Mpenja tunaomba jina jipya la baleke plz






Sakho anajua Kama Ronaldo
nyie nyie nyie simba so pieces shet gus
Naliaakwafraaa sako wewweeee
Fhhj
Ila iposiku mbape atauwa kipa au kupelekwa hospital jamni daaa nihatali
Simba mabingwa msimu ujao
Kweli kocha mizuka mingi sana hata mim simuelew kidgo labda tusubilie mbele itakuwaje ,
Mbona huyu kocha wetu mpya ni kama ana wenge au ni mimi ndo namuangalia kwa mawenge
Simba baba lao
Simba raha Sana











Naipenda simba



















hii nd simba. Ya ss
Huyu goalkeeper aibu zote ziwe kwake…!